Skip to main content

Mapenzi Konki

Search This Blog

May 30, 2019

Popular Posts

Image

VYAKULA VINAVYOHUSISHWA NA TENDO LA NDOA

.kuna vyakula tunafahamu  vinahusishwa sana na tendo la ndoa na wengi wao tunavijua,,yaweza kuwa ni kweli au yawezakuwa unakosea katika matumizi,,utakuta mwanaume kaambiwa karanga zinahusiana na tendo la ndoa,,, basi ndio akitaka kufanya mapenzi ndio atakula mikaranga hiyo kama ugomvi.....sasa wakishakuwa kitandani badala ya kufanya shughuli ya tendo la ndoa ..ye anaachia mishuzi hapo mbwa mbwa mbwa chumba kizima kina kuwa kama choo sasa🤣 ...ukiuliza karanga.........kaka angu kunajinsi ya kutumia hivyo vyakula nakama vile karanga, tangawizi,matikiti na mbegu zake,mbegu za maboga,nk.........nasio unafakamia tu utie aibu kitandani huko...........SASA BASI JIFUNZE KWANGU JINSI YA KUTUMIA VYAKULA HIVYO..MM MWALIMU WAKO 🥦
Image

USHAURI MWANAMKE WA KUOA

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya; 1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema. 2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia “Mimi ni mume wa mtu” au ninae mtu tayari. 3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, “wanawake wanaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao” 4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe! 5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza. 6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwez...
Image

LIVERPOOL YAINGIA ANGA ZA ADAMA, MWILI JUMBA

LIVERPOOL YAINGIA ANGA ZA ADAMA, MWILI JUMBA JURGEN Klopp,  Kocha Mkuu wa Liverpool yupo kwenye hesabu za kuinasa saini ya winga mwili jumba na mwenye kasi anayekipiga ndani ya Wolves, Adama Traore. Taarifa zinaeleza kuwa Kocha huyo anataka kuwapunguzia presha mastaa wake watatu wa mbele ambao ni Firmino,  Mo Salah na Sadio Mane. Kwa mujibu wa The Sun, Klopp amemuweka katika kipaumbele chake cha kwanza cha usajili winga huyo mwenye miguvu na thamani yake inatajwa kuwa milioni 60. Raia huyo wa Hispania amekuwa katika kiwango bora ndani ya Wolves msimu huu, mocha wake Nuno Espirito Santo amekuwa akimtumia zaidi pembeni.
Powered by Blogger