Skip to main content

Mapenzi Konki

Search This Blog

May 30, 2019

Popular Posts

Image

Top 10 ya makabila yenye wanawake wazuri haya hapa tafiti mpya 2019

Hebu Leo tupate new update za kumi bora ya makabila yenye wanawake wazuri tanzania. 1. Wahiraki, hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. wanyaturu, hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vi...
Image

Romantic bedroom ideas

You may not believe it, but the essential part of the house is the bedroom . The best memories are created inside the bedroom and between the sheets . So, you better prepare yourself with some of the best romantic bedroom ideas to enjoy the moment together. There was a point in history when a vast majority of the population lives in a home that’s just a single bedroom. There are still places in Europe and the rural USA where the bathroom is just a hole on the ground . Even when you’re roughing it in the wild, the tent is nothing more than a portable bedroom. The reason why the bedroom is the most crucial part of the house is simple. We are most vulnerable when we are asleep. We have to do it every day for more than a few hours. We need something to protect ourselves from the elements and other things that go bump in the night. Bedroom ideas for couples Sleep isn’t the only thing that happens in the bedroom. A lot of intimate moments happen there . It’s possibl...

FAIDA 6 ZA KULA PILIPILI MWILINI

Maalumu kwa wale watu wapenda na watumiaji wa pilipili ambao hutumia bila kufahamu faida zinazotokana na kiungo hiki chenye ladha ya uchachu na ukali lakini ndiyo kiungo chenye kuongeza hamu ya kuendelea kula chakula. Capsaicin ndiyo kiambata ambacho huipa pilipili ladha yake ya uchachu pamoja na kazi yake ya kuongeza ladha ya chakula. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa na wanasayansi wamegundua faida 6 zitokanazo na ulaji wa pilipili kwenye mwili wa binadamu, kama zifuatazo. 1. Hupambana na maumivu na uvimbe Capsaicin huziondolea nguvu neuropeptides ambazo ndizo husababisha maumivu na kuvimba kwa sehemu mbalimbali mwilini. 2. Huzuia kuziba kwa mishipa ya pua Capsaicin inajulikana kwa kupambana na kazi mbalimbali za bakteria mwilini ambazo nyingi husababisha kuathirika kwa sehemu ya wazi iliyopo kwenye mifupa hasa kwenye pua, pamoja na kazi yake ya kuunguza/ kuchemsha mwili, pia husaidia kuunguza ute unaoweza kusababisha kuziba kwa pua hivyo kuondoa, kupunguza kabisa maumivu ...
Powered by Blogger